Mapendekezo Mkutano Mkuu 2025-2026
FOR PREVIEW ONLY, NOT LIVE!! Baraza la Diaspora Watanzania Duniani linawaalika diaspora kushiriki katika utafiti kwa kujibu maswali machache. majibu ya utafiti huu yatazingwatiwa na uongozi katika maandalizi ya mkutano mkuu na kongamano la TDC Global linalotarajiwa kufanyika 2026. Karibuni
