Baraza la diaspora wa Tanzania duniani-TDC Global linawajulisha wanachama na diaspora wa Tanzania kuwa, mkutano mkuu na uchaguzi wa viongozi wake utafanyika ana kwa ana tarehe 11 na 12 Julai 2023, Cardinal Rugambwa Social Centre uliopo Haile Selassie Road, Oysterbay Dar es Salaam. Uamuzi huo umefikiwa kupitia mikutano ya kamati kuu na bodi ya ushauri ya TDC Global yenye kumb.TDC20220627/01 na Kumb.TDC20220715/01 uliofanyika kufuatia mkutano wa Bodi ya Ushauri wenye Kumb. TDC20220703/01.
TDC Global inaomba wanachama, vyama vya diaspora, na wadau wengine kujiandaa mapema, ili kufanikisha mkutano huo muhimu kwa taasisi yetu na watanzania wote kwa ujumla. Taarifa zaidi kuhusu maandalizi ya mkutano huo zitaendelea kutolewa kwa kadri zinavyokamilika. Tunatanguliza shukrani. Mungu ibariki Afrika, Mungu ibariki Tanzania
Jiandikishe Kuhudhuria Mkutano Mkuu
TAARIFA YA MKUTANO MKUU
KWA WANACHAMA NA DIASPORA
TARATIBU ZA UCHAGUZI
TARATIBU ZA UCHAGUZI
FOMU YA TAMKO
FOMU-ya-TAMKO_2023
UANACHAMA NA ADA
WANACHAMA NA ADA TDCG. K
NAFASI YA AFISA UCHAGUZI
TANGAZO RETURNING OFFICER TDCG
FOMU YA MAOMBI
TDC_FOMU-ya-MAOMBI_2023
AFISA UCHAGUZI (MSIMAMIZI WA UCHAGUZI)
AFISA UCHAGUZI TDCG 2023 KK
WALIO OMBA RIDHAA YA UONGOZI TDC
UCHAGUZI TDCG-RIDHAA