
Taarifa kwa Jamii đŋ
Webinar kuhusu Social Engineering & Online Safety
Mnakaribishwa kushiriki Semina ya mtandaoni ya uhamasishaji kuhusu
Social Engineering & Usalama Mtandaoni.
Semina hii itaeleza mbinu za kawaida zinazotumika kwenye ulaghai wa mtandaoni, kujifanya watu wengine, na udanganyifu wa kidijitali, pamoja na njia rahisi za kujilinda na kutumia mtandao kwa usalama.
đ Tarehe: Jumamosi, tarehe 7
â° Muda: Saa 11:00 jioni (Saa za Tanzania)
đģ Jukwaa: Zoom
đĸ Meeting ID: 840 6000 8915
đ Nenosiri: 431039
Kujiunga zoom moja kwa moja, fuata kiungo hiki hapa chini. (Unaweza ulizwa ku accept Bit.ly, terms, accept na itakupeleka zoom, siku na saa ya semina.)
SocialEngineering And Online Safety Zoom Meeting
JIUNGE ZOOMLengo ni kuongeza uelewa na utulivu â si kuleta hofu.
Wote mnakaribishwa.
TEHAMA – TDC GLOBAL
